Exodus 1:8-14 NIV (Kutoka 1:8-14) - 26-02-2018
Let's treat other people right. Tuwatendee haki watu wengine. {Pastor P. Chuwa}

MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 18 FEBRUARI, 2018
SOMO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI TUKIMTEGEMEA MUNGU TUTASHINDA MAJARIBU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.