December 2022
AZF Safari ya Kiimani: MISRI & ISRAEL
Usharika wa Kanisa Kuu la Azania Front, kwa mara ya kwanza katika historia, uliandaa safari ya kiimani na maombi katika nchi za Misri na Israel. Ziara hiyo ilifanyika kuanzia tarehe 6 hadi 16 Novemba 2022.
Ziara hiyo iliongozwa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa Kuu Chaplain Charles Mzinga.
Luka 7:24-26 - 20-12-2022
Luka 1:22-28 - 19-12-2022
Luka 7:18-23 - 17-12-2022
Marko 1:4-8 - 16-12-2022
Matangazo ya Usharika tarehe 11/12/22
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 11 DESEMBA, 2022
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
BWANA ANAWAFARIJI WATU WAKE
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 04/12/2022
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wakumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
