August 2024
Zaburi 52:1-9 - 29-08-2024
Matendo ya mitume 8:18-24 - 28-08-2024
Zaburi 35:1-9 - 24-08-2024
1Wafalme 21:27-29 - 22-08-2024
Isaya 8:11-15 - 20-08-2024
Matangazo ya Usharika tarehe 18/08/2024
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 18 AGOSTI, 2024
SIKU YA BWANA YA 11 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
NYENYEKEENI CHINI YA MKONO WA MUNGU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 11/08/2024
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
1 Samweli 17:5-58 - 19-08-2024
Yohana 6:60-65 - 17-08-2024
Isaya 31:1-9 - 16-08-2024
Luka 9:57-62 - 15-08-2024
Amosi 9:11-15 - 13-08-2024
Sefania 2:1-3 - 12-08-2024
Matangazo ya Usharika tarehe 11/08/2024
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 11 AGOSTI, 2024
SIKU YA BWANA YA 11 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
MTAFUTENI BWANA NANYI MTAISHI
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 04/08/2024
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
