September 2025
Waamuzi 13:8-9 - 29-09-2025
Matangazo ya usharika tarehe 28 Septemba 2025
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 28 SEPTEMBA, 2025
SIKUKUU YA WATOTO: MIKAELI NA MALAIKA WOTE
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
TUWAPENDE NA KUWAJALI WATOTO KATIKA BWANA
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 21/09/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
Matendo ya mitume 9:10-19 - 27-09-2025
Marko 12:41-44 - 26-09-2025
2 Wakorintho 8:1-4 - 25-09-2025
Malaki 3:7-12 - 24-09-2025
1 Mambo ya nyakati 29:19-17 - 23-09-2025
1Timotheo 6:17-19 - 22-09-2025
Matangazo ya usharika tarehe 21 Septemba 2025
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 21 SEPTEMBA, 2025
SIKU YA BWANA YA 14 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
TUNAITWA KUWA MAWAKILI WA MUNGU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti. Kama kuna wageni ambao ni mara yao ya kwanza kushiriki nasi wasimame ili tuwakaribishe.
3. Matoleo ya Tarehe 14/09/2025
