AZF Kijarida #10 (Januari - Aprili 2021)

MPYAAAAA: Pata nakala ya Kijarida cha Usharika wa Kanisa Kuu Azaniafront toleo la Januari mpaka Aprili 2021 kilichokukusanyia matukio na taarifa mbalimbali za usharika kwa kubofya link hapa chini.

AZF Kijarida #10

Kwa maoni mbalimbali kuhusu taarifa na kijarida hiki wasiliana na;

Cuthbert Swai - Mwenyekiti wa Kamati ya Habari na Uhusiano

Simu: +255 763 746 338

Email: cuthe.swai@gmail.com